Jumamosi, 22 Machi 2014

RAIS WA MIDUARA BONGO LEO NDANI YA MPWAPWA


Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka Zenji At anatarajiwa kkufanya bonge moja la shoo katika wilaya ya mpwapwa ndani ya ukumbi wa MANASSE INN hatari tupu  kama upoo mp usikose.