Jumanne, 4 Juni 2013

NEYMAR AFANYIWA VIPIMO NA KUTAMBULISHWA RASMI KWA MASHABIKI WA BARCELONA TAZAMA PICHA


NEYMAR amegusa ardhi ya Barcelona kufuatia usajili wake wa pesa nene, pauni milioni 46 na kufuzu vipimo vya afya.



Akiwa ametokea kwenye mechi ya Brazil na England iliyoishia 2-2, Neymar 21, alifanyiwa vipimo jana mchana kabla ya baadae kutambulishwa rasmi kwa mashabiki wa Barcelona.



Hizi ndio picha za namna Neymar alivyofanyiwa vipimo.








 Labels: