Marco Van Ginkel, Gary Cahill na John Terry wakijumuika pamoja kushangilia baada ya kuifunga timu ya Indonesia All Stars

Mashabiki waliovalia jezi za Chelsea wakishangilia uwanjani Baada ya kuona mvua ya mabao kwa Indonesia All Stars

Demba Ba na Ramires wakiitimisha jumla ya mabao 3-0
CREDIT : BUKOBA SPOTS
Jose Mourinho kwenye benchi akiangalia timu yake ikigawa dozi kiurahiisi mjini Jakarta
Mashabiki waliovalia jezi za Chelsea wakishangilia uwanjani Baada ya kuona mvua ya mabao kwa Indonesia All Stars
Kapten John Terryakishangilia na wenzake
Eden Hazardakifunga bao la penati dakika ya 22 na kuifungulia Blues Mvua ya Mabao leo
Demba Ba na Ramires wakiitimisha jumla ya mabao 3-0
Ushindi mtamu jamani!!!
Dalili za Ushindi kwa Chelsea zilionekana mapeema katika kipindi cha dakika 45 za kipindi cha kwanza
KIKOSI CHA CHELSEA:
Chelsea:
Blackman (Schwarzer 46); Wallace (Ivanovic 46), Cahill, Terry (Kalas
46), Bertrand (Cole 46); Chalobah (Essien 46), Van Ginkel (McEachran
60); Ramires (Feruz 60), Hazard (Piazon 60), Moses (Traore 46); Ba
(Lukaku 46).
Goals: Hazard (penalty) 21, Ramires 29, 56 Ba 32, Terry 45, Traore 50, Lukaku 52, 65.
Indonesia All-Stars goal: Kalas (og) 67
Goals: Hazard (penalty) 21, Ramires 29, 56 Ba 32, Terry 45, Traore 50, Lukaku 52, 65.
Indonesia All-Stars goal: Kalas (og) 67