Ijumaa, 26 Julai 2013

MATUKIO YOTE YA MAADHIMISHO YA SIKU YA MASHUJAA WILAYANI MULEBA SIKU YA JANA.


Rais Kikwete aliongoza watanzania Nchini kuhudhuria maadhimisho ya mashujaa waliopigania vita vya ukombozi dhidi ya majeshi ya uvamizi ya Nduli Idd Amini mwaka 1978/79, maadhimisho yaliadhimishwa katika kambi ya jeshi JWTZ Kaboya wilayani Muleba.

Viongozi mbalimbali

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka ngao/sime katika mnara wakati wa maadhimisho ya kumbukumbu ya Mashujaa katika kambi ya jeshi ya Kaboya, Bukoba, mkoani Kagera siku ya jana.


Photo: MAADHIMISHO YA MASHUJAA MWAKA 2013 KITAIFA KABOYA
www.bukobasports.com

Viongozi wa dini wakisoma dua kwenye maadhimisho hayo. Pembeni ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Mohamed Ali Shein, Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali, Jaji Mkuu Mheshimiwa Chande Othman na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe Othman Makungu




Rais Jakaya Kikwete akitembelea makaburi ya mashujaa waliopoteza maisha wakati wa vita na Nduli Iddi Amini wa Uganda.

Photo: MAADHIMISHO YA MASHUJAA MWAKA 2013 KITAIFA KABOYA MKOANI KAGERA
www.bukobasports.com





PICHA NA HABARI KWA HISANI YA BUKOBA SPORTS.COM
Facebook Blogger Plugin by 2jiachie | 2jiachie